nalamba yote
Member
- Nov 21, 2017
- 56
- 51
- Thread starter
-
- #61
Bora ww umenielewa mkuu,ila kuna cku majuz kati nilipandwa na ugwadu kidogo niamke nikawarudie sema tu ilikuwa usiku sana,wakati mwingine ni bora kutokujua kitu maana ukishajua unaanza kutamani kwenda.Hajapiga,alikuwa anawahisha dawa!.
Kama sio dawa,angejibiri kwa kulala na hao kwa mara ya kwanza!
Bima mkuuToa maelezo yanayojitosheleza ni Tabata ipi?
Ukishuka bima kituoni acha barabara ya segerea kata kulia,ulizia MTU yyt hapo ni mwendo Wa DKK km 3 au 4 Kwa miguuKB iko sehemu gani tuelekezane?!
the great- tabata barakudaToa maelezo yanayojitosheleza ni Tabata ipi?
Mkuu nikikuelekeza sana nitakuwa nawapigia promo Hawa wadangaji,...km kweli unataka kwenda ni DM nikuelekeze hadi kichochoro waliponitingaElekeza vizuri nami nikapitie hapo mara Moja mambo ya kwa mlinzi
CBE si kama evening classes? halafu kiko city centre..na vikozi vidogo vidogo
sijui certificate ya nini na nini...
ili ukimuona jioni anaelekea city centre au anatoka huko usijiulize anaenda fanya nini...
atakuambia anaenda kusoma na wenzie na ni jumamosi jioni....au jumapili jioni
halafu atakuambia alilala hostel kwa rafiki yake.....hahahaa
Mkuu ktk wale walionizunguka moja ilikuwa ngozi ya ukweli,kidogo tu nitumbukie,nawaza kumrudia cku nikipata chenchi maitiMtoa mada habari kama hizi utoe kwa maelekezo yakinifu. Vipi wamejazia neema za Alah, je ngozi inacalculator au mororoooo.?
the great- tabata barakuda
40/40 - tabata bimaa
kwetu pazuri- tabata sanene
kB - tabata bima
micasa- tabat magengeni
wamejaa tele kila la kheri
ukimwi upo na unaua
Buku tuHivi Mlinzi Huwa anakula shilingi ngapi pa gemu? Aiseee ndiyo maana walinzi wanalipwa elfu themanini kwa mwezi lkn familia inaenda Na wanajenga Na kusomesha
kumbe ni hapo bima tu!Nipo siku zote,sema Mara nyingi hapo bima sitembeagi sana,huwa napita tu Kwa daladala mkuu
AF akuite umtembelee getoo kalpanga n balaa,,,, acha tu hz mamboHasa akisema hana shughuli...maalum....
Ipo siku utarudi tu wewe.haki ya nani ningepiga ningesema,sema wamenitamanisha hadi natamani nirudi nikapige,shetani hajanipitia tena.
Mkuu taratibu,tuhurumie na mbavu zetuHii dunia ni bora Kim Jong-Un aliamshe Bomb moja la hydroge na two Bombs za ICBM ili tukapumzike kwa amani huko kwa Sir God.
Mkuu usitudanganye yaelekea ulikulaWiki kama mbili hv zilopita nilikatisha Kwa miguu nikitokea maeneo ya KB nikakatisha vichochoro flan kama unakuja SWIS mida ya SAA NNE ucku,nilivyokaribia karibu na car wash flan nikakutana na wadada km wanne hv wadangaji,wakanitinga mbele yangu na kuanza kuniomba tukapigane Pumb*,huku kila mmoja akijaribu kunishawishi kivyake,nilipochoka ni pale mmoja aliposema eti 6000 yako tu unakula kitu saafi na kondom anayo na tissue pia anayo,ananiomba twende car wash chooni tukamakize mambo Kwa mlinzi,nikajiuliza Hawa watu wamevamia lini tena tabata jmn,namshukuru Mungu nilivishinda vishawishi vyao maana nilikuwa ninawahisha dawa ya tumbo Kwa mdogo wangu home,ungekuta sina haraka labda Kwa Mara ya kwanza nakula Malaya chooni.kuweni makini na maeneo hayo nyakati za usiku hasa wale mnaokatisha vichochoro Kwa miguu wakuu.