Mkuu uwe unajiongeza kabla yakucomment chochote.Tatizo sio bili bali maji hakuna maeneo yote ya tabata,tabata segerea,kinyerezi nakwingineko.
Kwahiyo watu wa marneo hayo ndo hawalipi bili sio?Mbona mimi kwangu sidaiwi hata mia lakini huduma ya maji hakuna zaidi ya wiki sasa.