TFDA,TBS,TAKUKURU NA TRA
moja ya haabari kubwa za leo ni suala la kuingia sokoni kwa dawa za aina 5 za bandia,,,,niliposikia kuwa zipo sokon nikashtuka,na nikajiuliza zimeingiaje????kama waliogundua wamegundua zikiwa sokon je hazijanunuliwa????taasis nilizozitaja zinahusika kwa asilimia miamoja zilikua wapi?????MKEMIA MKUU UNAFANYA NN????watanzania tunaangamizwa na mengi,,,ukiacha mgao na matatizo yake ila hawa nao ni wauaji kama mafisad
endelea kuzitaja nyingine
moja ya haabari kubwa za leo ni suala la kuingia sokoni kwa dawa za aina 5 za bandia,,,,niliposikia kuwa zipo sokon nikashtuka,na nikajiuliza zimeingiaje????kama waliogundua wamegundua zikiwa sokon je hazijanunuliwa????taasis nilizozitaja zinahusika kwa asilimia miamoja zilikua wapi?????MKEMIA MKUU UNAFANYA NN????watanzania tunaangamizwa na mengi,,,ukiacha mgao na matatizo yake ila hawa nao ni wauaji kama mafisad
endelea kuzitaja nyingine