Jamani Sio sahii kuhusisha maafa yanayotokea na siasa. Hakuna uhusiano kati ya kuzama kwa meli na ccm haya ni maafa tu kama ajali zinazotokea mara kwa mara. Inaonekana huyu jamaa amekariri na ana chuki binafsi na chama hki kwani upepo mkali ndo umesababisha meli izame na si vinginevyo.
Gudigudi au badibadi whatever your name seal.. Mtu Wa makamo unaweza kweli kushawishika kwamba taatifa hii ni ya Serikali makini??!!
Au ni uhuni tu Wa kupikapika Na kuropoka, hakuna mwenye Kutaka kuhusisha tukio Hili Na siasa but siasa wanaziweka hawa jamaa Kwa kuwadharau wananchi Kwa kiwango hiki.. Taarifa ya serikali lazima iwe Na dondoo zifuatazo..
1. Abiria wangapi walikiwemo ikionyesha listi kamili ya majina, utaifa, Umri Na Jinsia..Na Tiketi registry
2. Mmiliki Wa chombo, sehemu ya ofisi, Na wasifu.
3. Mpaka sasa abiria waliookolewa Kwa mujibu Wa registry, Na ambao wanadhaniwa Bado wemekamatwa Na roho ya Bahari.
4. Idadi ya vyombo vilivyotumwa Kwenye zoezi la uokoaji, Binafsi Na serikali..
5. Usalama Wa chombo (haliyahewa)
-mazingira Chombo kilipokuwa cleared kuondoka Na mamlaka Za hali ya Hewa ilihali wakijua upepo wa mbisho ulikuwa mkali..
-uimara Wa chombo, maintenance schedule
-taarifa ya marine safety & app dept ambao hukagua meli au chombo kabla ya mwendo..
- SUMATRA ----
VYOMBO VINGINE VYA HABARI VYAWEZA KURIPOTI CHOCHOTE BUT SERIKALI LAZIMA IJE NA DETAILS KWA HARAKA KABLA TAARIFA MBAYA HAZIJAENEA..
SI BURE UTASIKIA TUME INAUNDWA NA WATU KADHAA WANAKABIDHIWA MIHELA LUKUKI Kutengeneza movie ya kuuhadaa umma..