kwel lakn deadln ilikua tarehe moja mwez huu mara tayar mchujo
bax watakua wachapakaz hapa chamxng tujuzane tu humuhum JF
au kama kuna tovuti maalumu wanapoweka majina pia tuiweke hadharani
maana tangazo lao liliwekwa kwenye tovut ya wzara ya mambo ya ndani.
Ukiona kuna nyumba au kiwanda kinaungua, basi anza kazi mara moja wakija unawaambia ''nimetuma application yangu na kwa kweli naweza kazi, si mnaona?'' UNAULA FASTA HATA KABLA YA MAJINA KUTOKA.
Ukiona kuna nyumba au kiwanda kinaungua, basi anza kazi mara moja wakija unawaambia ''nimetuma application yangu na kwa kweli naweza kazi, si mnaona?'' UNAULA FASTA HATA KABLA YA MAJINA KUTOKA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.