Taarifa ya kukosekana kwa huduma ya umeme Mkoa wa Kinondoni

Taarifa ya kukosekana kwa huduma ya umeme Mkoa wa Kinondoni

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
715
Reaction score
646
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawajulisha wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni kuwa kutakuwa na matengenezo kinga katika Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Mikocheni ili kuimarisha hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme.

Kutokana na uwepo wa matengenezo hayo baadhi ya wateja wa Mkoa wa Kinondoni watakosa huduma ya umeme.

Screenshot_20260912_083510_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom