TAARIFA rasmi kutoka CHADEMA

​viongozi wa ukawa msiwe na shaka sisi malofa huwa hatubadiliki tukisha amuwa ! Kura zetu zote ni kwa ukawa!
 
Niwatake wana ukawa tu kuwa, lolote lijalo mbele yetu.. Tulione kama upepo.. Upitao.. Huo ni msala upikwao na JM na sio upitao.. Ingawa hata ungekuwa ni msala upitao bado tusingea anguka.. Kama wanatengeneza hii ya m4c means wamekosa sera badala yake wanaamua kutumia sera na nembo za ukawa kuwachanganya watanzania wasio na uelewa juu ya m4c ukawa na m4c ccm.
 
Hata hii ni ya uzushi siyoo???
Imenifikia

Mwambieni Magufuli Duniani kote
Ni kujidanganya mweyewe kuwa

utaingia Ikulu kwa Jina lako mwenyewe bila taasisi iliyokutuma !!!!
 

Attachments

  • 1442661392248.jpg
    52.2 KB · Views: 241
sikuna sheria ya makosa ya mtandao? Kwanini chama kisiwasilishe tuhuma hizi ili wahusika wakamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki?

Ili kukomesha hili genge la watu kuleta taharifa za kupika kwenye mitandao?
Anayeilipa mishahara tume ya mawasiliano ndio huyo huyo anaye fadhili genge hilo hilo la kueneza uongo. Hivyo hao ni mapacha au ndugu
 

Makene alishahama UKAWA, anasubiri tu kukabidhi gwanda, yupo tu huko kimwili
 
mimi sioni alichoandika huyu zaidi ya Pumba tupu sasa kwani uongo Mbowe hawked a Marekani?
 
 
Safi saaaaaaaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…