Nimelamba kila kitu 100%, lakini moyo unanisuta kubaki mathkani...
Lazima nitie maguu hizo pande, mpaka kieleweke...
Oyah! Na wengine muliopata mkopo, msisite kufika yale maeneo, tuwapige kiki wana...
Nimelamba kila kitu 100%, lakini moyo unanisuta kubaki mathkani...
Lazima nitie maguu hizo pande, mpaka kieleweke...
Oyah! Na wengine muliopata mkopo, msisite kufika yale maeneo, tuwapige kiki wana...