zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Jamani naomba niwape taarifa hii,itawasaidia na polisi kwenye kazi zao za kila.katika kupambana na uhalifu hili litamsadia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.
Ni kwamba kijana ajulikanae kwa jina la Shabani Tampa alimaarufu boxer yaani boxer pikipiki kwa umahiri wake wa kukimbia, jana ameuawa maeneo ya Mwananyamala alipoenda kupora akiwa na mwenzake ambaye hakufahamika jina kwa haraka zaidi.
Kijana ni mkabaji na mwizi aliebobea kutoka Keko Magurumbasi, na nyumbani kwao ni mtaa mrefu karibu na bar iitwayo saja, saja ni maarufu kwa biashara ya ukahaba inayofanyika hapo na kituo kikubwa cha wakabaji wa Keko Magurumbasi.
Taarifa yangu hasa ni kuwajulisha wakazi wa Vikindu kuwa kijana Boxer amekuja kuzikwa Vikindu na amekuja kuzikwa kwa asilimia 80 ni wakabaji wenzake kutoka camp ya home boys Keko mwanga, ambayo ndio maskani kubwa wakabaji wakorofi na wababe.
Wakazi Vikindu muwe makini.
Polisi kama mnahitaji taarifa hizi, anzeni na magari hayo ambayo yamewabeba vijana wengi sana, mtoa taarifa wangu hakunipa namba za magari, ila ni mabasi ya eicher mawili. Basi lilipakia wanaume tupu hao wote ni wezi kwa asilimia 80.
......Yangu ndiyo hayo.
Salamu zangu kwa mkuu wa mkoa, Keko imeshindikana, tatizo kubwa uhalifu huu ni baadhi ya polisi kutoa siri za watoa siri kwa polisi, ndio maana watu wamekua waoga.
Kama imeshindikana kabisa basi waruhusiwe wanajeshi wengi kuishi maeneo yenye vibaka wengi.
Ni kwamba kijana ajulikanae kwa jina la Shabani Tampa alimaarufu boxer yaani boxer pikipiki kwa umahiri wake wa kukimbia, jana ameuawa maeneo ya Mwananyamala alipoenda kupora akiwa na mwenzake ambaye hakufahamika jina kwa haraka zaidi.
Kijana ni mkabaji na mwizi aliebobea kutoka Keko Magurumbasi, na nyumbani kwao ni mtaa mrefu karibu na bar iitwayo saja, saja ni maarufu kwa biashara ya ukahaba inayofanyika hapo na kituo kikubwa cha wakabaji wa Keko Magurumbasi.
Taarifa yangu hasa ni kuwajulisha wakazi wa Vikindu kuwa kijana Boxer amekuja kuzikwa Vikindu na amekuja kuzikwa kwa asilimia 80 ni wakabaji wenzake kutoka camp ya home boys Keko mwanga, ambayo ndio maskani kubwa wakabaji wakorofi na wababe.
Wakazi Vikindu muwe makini.
Polisi kama mnahitaji taarifa hizi, anzeni na magari hayo ambayo yamewabeba vijana wengi sana, mtoa taarifa wangu hakunipa namba za magari, ila ni mabasi ya eicher mawili. Basi lilipakia wanaume tupu hao wote ni wezi kwa asilimia 80.
......Yangu ndiyo hayo.
Salamu zangu kwa mkuu wa mkoa, Keko imeshindikana, tatizo kubwa uhalifu huu ni baadhi ya polisi kutoa siri za watoa siri kwa polisi, ndio maana watu wamekua waoga.
Kama imeshindikana kabisa basi waruhusiwe wanajeshi wengi kuishi maeneo yenye vibaka wengi.