Wakuu kuna aliyeitwa kwenye usaili wa zile nafasi za internship zilizotangazwa na mamlaka ya viwanja vya ndege?
HakikaLabda tusubr wiki ijayo tuone🤔
inshaAllahTujipe muda kidogo_make deadline ya kuitwa kwenye usaili ni Sunday(29th).
natanguliza hongera kam kuna mtu kaitwa, mie nshajiongeza niendelee na mishe zngnewiki 2 ndo teyar tena no call/msg
Hivi kuna mishahara minono pia na uko?Watu wametuma zaidi ya 4000 kwa nafasi 24 ni kasheshe mkuu
Watu wametuma zaidi ya 4000 kwa nafasi 24 ni kasheshe mkuu
Ni kweli wameomba wengi na haikuwa una apply online hivyo kuchakata na kuchambua mwenye sifa ina itaji mda kama mwezi hivi.Watu wametuma zaidi ya 4000 kwa nafasi 24 ni kasheshe mkuu
Internship ni around 390,000 mpaka 590,000 haizidi hapo. Kumbuka hiyo sio ajira ya kudumu ni kama kujitolea tu.Hivi kuna mishahara minono pia na uko?
Hiyo 390,000 Kwa mwezi?Internship ni around 390,000 mpaka 590,000 haizidi hapo. Kumbuka hiyo sio ajira ya kudumu ni kama kujitolea tu.
Ndio mkuuHiyo 390,000 Kwa mwezi?