T-shirt za ccm dhaifu zanikosha......

T-shirt za ccm dhaifu zanikosha......

king ndeshi

Senior Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
135
Reaction score
7
wanamkeka napenda kuileta hii kwanu sababu namekumbana na ujasiri wa kuigwa,nilikuwa nakatiza mitaa ya hapa barabara ya sita dodoma naelekea upande wa mashariki ambapo kuna jengo la CCM makao makuu,nikamkuta jamaa 1 akiwa kwenye mlango wa kutokea jengo la ccm katupia flana ya kijani,imemkaa poa. kitu cha kwanza kuja kichwan huyu kijana gani ambaye ukombozi unampita kwa kasi kiwango hichi,nikataka kujua imeandikwa nini coz niliona maandishi kwa mbele,kusogea karibu
...la haulaa, inasomeka CCM DHAIFU....
 
Safi sana ukiweza kumuona au kumfata mpe elfu 50. Halafu ni pm nikurejeshee.
 
Na mie nitamuongezea hapo elfu 20 hahahahahahahahaah
 
Lete picha mkuu ili tumtunuku kwa sababu ameivalia jikoni kunakopikwa sumu
 
anawaridhisha kwa kuivaa tisheti ya kijani na wao kwa umbumbu wao hawajui kama anawang'ong'a pambaf zao.
 
Back
Top Bottom