Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
Wadau, Bro wangu kanipa sim yake aina ya T-Mobile baada ya kuona kuwa imemzingua.
Simu ni tachi skreeni. Icon zote za upanda wa kushoto hazi respondi, yy anadai kuwa aliiweka karibia na Tv yake kwa hiyo imeharibiwa na magnet, sasa wadau nataka niipatie ufumbuzi ili niachane na haka ka Tekno cha kichina ninachotumia ambacho kina piga kelele kinoma hasa nikipigiwa.
Wataalam naomben msaada wenu
Simu ni tachi skreeni. Icon zote za upanda wa kushoto hazi respondi, yy anadai kuwa aliiweka karibia na Tv yake kwa hiyo imeharibiwa na magnet, sasa wadau nataka niipatie ufumbuzi ili niachane na haka ka Tekno cha kichina ninachotumia ambacho kina piga kelele kinoma hasa nikipigiwa.
Wataalam naomben msaada wenu