Fananisha rate unayopata na urahisi wa kuitoa hiyo hela ukiihitaji kabla ya muda wa hiyo instrument kumature kama unafikiri linaweza kutokea ukaihitaji hiyo hela kwabla ya muda wake.
T bills zina maturity ya mda mfupi. So hizo ndio poa iwapo unahitaji cash yako yote irudi. Bonds zina maturity ya mda mrefu. Pengine hata miaka 20! So far, sijui kama mtu binafsi anaruhusiwa kununua T bills au Govt bonds!
Ningekuwa wewe ningewekeza kwenye Bond za miaka 15 ambapo nitanunua kwa discount kubwa almost 20%. Na nikawa napata interest rate ya almost 15% annually.
Nikiwa na shida ya hela, nauza bond kwenye secondary market.
Ningekuwa wewe ningewekeza kwenye Bond za miaka 15 ambapo nitanunua kwa discount kubwa almost 20%. Na nikawa napata interest rate ya almost 15% annually.
Nikiwa na shida ya hela, nauza bond kwenye secondary market.
Fananisha rate unayopata na urahisi wa kuitoa hiyo hela ukiihitaji kabla ya muda wa hiyo instrument kumature kama unafikiri linaweza kutokea ukaihitaji hiyo hela kwabla ya muda wake.
T bills zina maturity ya mda mfupi. So hizo ndio poa iwapo unahitaji cash yako yote irudi. Bonds zina maturity ya mda mrefu. Pengine hata miaka 20! So far, sijui kama mtu binafsi anaruhusiwa kununua T bills au Govt bonds!