Swila rapper mahili

JosephMPATIRA

Member
Sep 18, 2011
10
1
Jamani watanzania wenye uwezo mimi ni underground rapa mwenye uwezo wa kutunga na kuyafunga mashairi.nahitaji msaada wadau ili 2gonge kazi mawasiliano0717703276
 
Its sure hipho ni knowledje/huyu manswila ndo collage/mcz wa sasa ni gap,pia 2ngo zao ni desh/ni tofauti ya crap,na up hands/nashuru muumba ,kuwaover take/fasta nawashika kama mimba,na mahouse girl/mi ni harufu ya m2mba,nivae mpya nikutoe nishai.yeyo sema wana ngoma ndefu sana
 
duuuh! Kumbe ndio hivi? Haya mwana, Napita tu.. Ngoja niende kwenye Rock..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…