Perfectz JF-Expert Member May 17, 2017 8,948 27,806 Aug 6, 2017 #2 Hakuna msanii wa RNB bongo anaetia mguu kwa Rama D......huyu jamaa ni noma sana.
denoo49 JF-Expert Member Mar 29, 2011 6,114 6,940 Aug 6, 2017 #4 Watakao kuelewa ni wachache, sana sana jiandae kuitwa muhenga au zilipendwa. "PAMBANA NA HALI YAKO"
evonik JF-Expert Member Jun 12, 2015 3,998 5,134 Aug 6, 2017 #5 Mkuu umenikumbusha mbal Sana, achana na huyo jamaa namkubali Sana, enzi zile kina Sara na mapacha Sema sikuiz anaharibu kaingia Kwa singel Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenikumbusha mbal Sana, achana na huyo jamaa namkubali Sana, enzi zile kina Sara na mapacha Sema sikuiz anaharibu kaingia Kwa singel Sent using Jamii Forums mobile app