inatakiwa utambue kwanza kipi kimepelekea yeye kuingia huko.
then ndio utajua kama itakuwa rahisi kumtoa huko ama laah.
anaweza kubadilika kabisa.wengi tu unakuta wanaolewa na wanatulia. kwa sababu unaweza kuoa hata anayejiuza bila kujua kwani mtu akiwa anajiuza anajitangaza? so mpaka leo wapo wanao ingizwa kingi.