msabato masalia
Senior Member
- Dec 3, 2008
- 118
- 20
Hivi kipindi Magufuli anafungua bunge, wabunge wa Jecha walikuwapo? Kama walikuwapo ina maana walilamba mshiko Wa kile kikao? Baada ya "maamuzi" ya Jecha ina maana tunaweza wadai chenji yetu kwasababu hawakuwa halali? Me am confused!!!!