Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,675
- 40,926
Kuna hili swali limekua likinitatiza sana wakuu, nahitaji majibu yenu!
Mfano nikaamua kwamba nianze upya elimu ya msingi! Nikafanya mtihani nikafaulu!
Inamaana kwamba elimu yangu ya o-; a level na degree vitakua vimefutika automatically!
Au nitakua tu na cheti kipya cha elimu ya msingi lakini vingine vinabaki kua halali?
Asanteni.
Mfano nikaamua kwamba nianze upya elimu ya msingi! Nikafanya mtihani nikafaulu!
Inamaana kwamba elimu yangu ya o-; a level na degree vitakua vimefutika automatically!
Au nitakua tu na cheti kipya cha elimu ya msingi lakini vingine vinabaki kua halali?
Asanteni.