Swali: Post za form five zitatoka lini?

Swali: Post za form five zitatoka lini?

Nizzoh824

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2016
Posts
239
Reaction score
140
Habari zenu jaman

Kama title inavyo sema naomben kuuliza hivi post za form four bado tu na hivi zinaweza zkatoka lini

Ni hayo tu wakubwa
 
Ukiona umeanza kuziwaza sana jua ziko mbioni kutoka weka tu jitihada za kutembelea JF asubuhi, mchana na usiku kabla ya kulala siku si nyingi zijazo utakuta kwenye break news.
 
Ndg wana jf nasikia selection kulidato cha tano zimetoka naomba mwenye uhakika anijuze a nitumie na link
 
njoo kariakoo shimoni! zimebandikwa karbu na mlango wa maliwato ya kike!
 
Hivi kunakuwaga na sababu za kuchelewesha posts?
 
Please wait network is not available now please wait................................................................... Requesting fail try again later for selection coz it coming soon
 
Back
Top Bottom