Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Jee wewe ulie tendewa utakua na amani pindi unapokua Kazini au safarini au Akikwambia anakwenda Harusini, msibani anakwenda kwao kutembea? Ukiwa na amani na hayo na utampenda kama zamani na kumuamuni tena , wala huitaji Msaaada wa JF....
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Pole sana NdukaOriginal.
Lakini kunajambo hunishangaza sana kwa hao wamama/ wake, wao husamehe hata wanapo fumania laivu bila chenga, tena kiroho safiii.....
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.
Msamehe tuu itakuwa ni demons na tamaa zimemfanya awe hivo...! Unampa mapendo ya kweli lakini..? Koz kama haumfundi vyema inaweza ikawa chanzo cha kutafuta vya nje...? Ama uyo mshkaji wako wana background ya kupendana
Achana naye, mcha asili aachi asili, kama alivyosema mdau, mlaji aachi kula, caution!! Isijekuwa wew ndo chanzo mana mara nyingi wanawake huwa waaminifu kuliko sisi, those odds!!