Swali Lenye Mafunzo Ndani Yake!!

Swali Lenye Mafunzo Ndani Yake!!

Joined
Apr 21, 2014
Posts
17
Reaction score
2
Hivi Kati Ya Hawa Nani Atakae Jilaumu Hapo Baadae 1:anae Jitahidi Kufanya Ibada Yani Kwenda Kanisani Au Msikitini Halafu Akifika Huko Kwa Mungu Asimkute Au 2:anae Amini Mungu Hayupo Akahadaika Na Starehe Za Dunia Halafu Akaenda Kumkuta Mungu Yupo Wakati Hajajiandalia Lolote?. Toa Maoni Yako Hapa!!
 
Mungu ni lazima tutamkuta,huyo wa namba moja hatojilaumu kitu,ila wewe mtoa Mada ndio unatakiwa kujilaumu kwa Kumkufuru Mungu!!
 
anaeamin Mungu hayupo af akafka akuta yupo, kwanza atakua hajasafsha njia zake atajutia milele. But aletenda mema atabak kua mtakatfu.
 
kwa wakwanza haiwezi kuwa hivo

ila hilo la pili hilo ni mbulula


Hivi Kati Ya Hawa Nani Atakae Jilaumu Hapo Baadae 1:anae Jitahidi Kufanya Ibada Yani Kwenda Kanisani Au Msikitini Halafu Akifika Huko Kwa Mungu Asimkute Au 2:anae Amini Mungu Hayupo Akahadaika Na Starehe Za Dunia Halafu Akaenda Kumkuta Mungu Yupo Wakati Hajajiandalia Lolote?. Toa Maoni Yako Hapa!!

Mungu ni lazima tutamkuta,huyo wa namba moja hatojilaumu kitu,ila wewe mtoa Mada ndio unatakiwa kujilaumu kwa Kumkufuru Mungu!!

anaeamin Mungu hayupo af akafka akuta yupo, kwanza atakua hajasafsha njia zake atajutia milele. But aletenda mema atabak kua mtakatfu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom