Daa hiki kitu kimenigusa sn,kuna demu nimedumu naye miaka 4,ss nataka fanya process awe ndani but naona ANAPENDA KUNITAWALA NA KUNIFOKEA,pia ANAJIAMINI kupita maelezo.
Natafakari,sijui kama tutafikia coz nami najijua jinsi nilivyo.
Sina tofauti nawewe mkuu,mimi nimeachana na wangu miezi kadhaa iliyopita japo tulifika mbali na kisa ni alikuwa hivyohivyo na ni mbabe sana na mkali bila sababu,ingawa si mhuni kabisa.Unyenyekevu na kujishusha ni sifa ya mwanamke yeyote,kama hana sifa hizo atakutesa na zaidi kama wewe ni mpole.