Ilikuwa inasemaje ndugu
hahahahaa... Bila shaka LOWASA aliangukia pua
hahahahaa... Bila shaka LOWASA aliangukia pua
Hienda ikawa hivyo. Ila wameniangusha nilikuwa nasubiria kwa hamuTakwimu zilikuwa karibia 96% Lowassa ataleta mabadiliko makubwa kupitia vyama vya upinzani... hii ni aibu kubwa kwa CCM.... wakaacha kutoa figures...
Ukawaaaaaa....Lowassaaaaaa...
wamepigwa mkwara na nani?