tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Kiafrika kuishi extended family ni jambo la kawaida tu kwahiyo unaweza kuishi na baadhi ya ndugu zako kwako au kuna baadhi wanaishi makwao hata baada ya kuoa.
Lakini kama mjuavyo kuna baadhi ya jamii zinaamini mwanamke akiolewa basi ndugu wa mume wanaweza kumuadhibu huyu mke akikosea kwakuwa katolewa mahari.
Sasa wewe mwanaume ebu chukulia unatoka zako kwenye mishe zako za kusaka chapaa unafika home unamkuta ndugu yako anampiga mkeo mateke na ngumi utachukua uamuzi gani haijalishi mkeo kakosea au kaonewa na ndugu yako.
Haya mambo hutokea sana tu.
tremendous
Lakini kama mjuavyo kuna baadhi ya jamii zinaamini mwanamke akiolewa basi ndugu wa mume wanaweza kumuadhibu huyu mke akikosea kwakuwa katolewa mahari.
Sasa wewe mwanaume ebu chukulia unatoka zako kwenye mishe zako za kusaka chapaa unafika home unamkuta ndugu yako anampiga mkeo mateke na ngumi utachukua uamuzi gani haijalishi mkeo kakosea au kaonewa na ndugu yako.
Haya mambo hutokea sana tu.
tremendous