suarinho95
Member
- Jul 13, 2015
- 10
- 8
a
Soma ualimu, Mathematics & Geographyhabari,mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha sita mwaka huu 2018 na kupata division two points 10 mchepuo EGM...naomba ushauri kozi gan ni nzuri na ina wigo mpana wa ajira tanzania kwa sasa ili nkasome.Asanteni
alama zangu;
economics-E
geography-C
mathematics-B
samahan nisaidie kuhusu architecture,statistics na actuarial science znakuaje hzo?Soma ualimu, Mathematics & Geography
swali sio ushauri...mm mgeni sijajua matumiz vzur ya page hiiuna ushauri kwa wanachuo au una swali kwa wanachuo?
Nenda ualimu ajira nje njeswali sio ushauri...mm mgeni sijajua matumiz vzur ya page hii
Kama mkakati wako ni kuhitimu upate Ajira ujenge maisha bila usumbufu na kwa muda mfupi soma Education.samahan nisaidie kuhusu architecture,statistics na actuarial science znakuaje hzo?
Hapa nasisitiza asome "Bsc in Education ( Maths and Geo ) na siyo,Piga Bsc ya Esabu mkuu hutojutia
HAPA MIMI NASISITIZA ASOME BACHELOR OF SCIENCE WITH EDUCATION (TEACHING SUBJECT: GEOG AND MATH)Hapa nasisitiza asome "Bsc in Education ( Maths and Geo ) na siyo,
Bachelor of science in Mathematics
Hahahhahaelimu ya bongo bwana unaweza kuona labda kozi fulani inalipa now, ukiwa chuo tu magu anabadilisha gia hewani... waliosoma gesi na mafuta sahizi wanatamani wasome reli
Mna visa nyie...!!elimu ya bongo bwana unaweza kuona labda kozi fulani inalipa now, ukiwa chuo tu magu anabadilisha gia hewani... waliosoma gesi na mafuta sahizi wanatamani wasome reli
Hapa nasisitiza asome "Bsc in Education ( Maths and Geo ) na siyo,
Bachelor of science in Mathematics