Swali kwa waliooa/kuolewa.

Swali kwa waliooa/kuolewa.

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Hebu fikiria, katika wanawake /wanaume wote uliotembea nao kabla ama baada ya kuoa/kuolewa.
Ingetokea siku moja, wakati mmoja wakaja mbele yako ukiwa na mwenza wako kukushtaki kwake, unadhani ni yupi atakutia aibu sana kiasi kwamba ungejua b4 ungetumia gharama yeyote asije?

Pili; kama wewe ni mwanaume umeoa mwanamke unaemwamini sana, ukastaajabu hiyo siku, wale wapenzi wa mwanamke idadi yake ni zaidi ya mara kumi ya wale wa kwako, imani yako kwake itaendelea kuwepo?

Naleta chalenji hii kwasababu wapo wanaosema mapenzi hayachagui, na ndo hapo unakuta mtu mzima na busara zake anatembea na msichana ambae hawezi hata kuongozana nae au mmama wa heshima lakini anatembea na mwanaume wa ajabu kabisa kwa kuwa mapenz ni siri, hata vichaa wenye watoto unakuta wamezalishwa na watu wenye heshima zao.
 
Mimi namhofia yule mhudumu wa bar niliyemtongoza nikiwa nimelewa. Ikiwa hivo naenda hata kumfungia gesti.
 
mapenzi ni siri, hawawez kukuumbua kwa kuwa hawawez kueleza jinsi mlivyogegedana.

waje ili waone kuwa nimebadilika sasa nimetulia.

kama wife akiwa na idadi kubwa poa tu mradi najua kesha achana nao sistojali, tutaheshimiana kama kaka tu maana wote tunamjua mwanamke huyu
 
mara nyingi wengi tunapooa tunasahau yaliyopita. ila viwembe ni kama panya vile kila siku wanasaka tundu jipya!
 
Hebu fikiria, katika wanawake /wanaume wote uliotembea nao kabla ama baada ya kuoa/kuolewa.
Ingetokea siku moja, wakati mmoja wakaja mbele yako ukiwa na mwenza wako kukushtaki kwake, unadhani ni yupi atakutia aibu sana kiasi kwamba ungejua b4 ungetumia gharama yeyote asije?

Pili; kama wewe ni mwanaume umeoa mwanamke unaemwamini sana, ukastaajabu hiyo siku, wale wapenzi wa mwanamke idadi yake ni zaidi ya mara kumi ya wale wa kwako, imani yako kwake itaendelea kuwepo?

Naleta chalenji hii kwasababu wapo wanaosema mapenzi hayachagui, na ndo hapo unakuta mtu mzima na busara zake anatembea na msichana ambae hawezi hata kuongozana nae au mmama wa heshima lakini anatembea na mwanaume wa ajabu kabisa kwa kuwa mapenz ni siri, hata vichaa wenye watoto unakuta wamezalishwa na watu wenye heshima zao.

kukutana na wanawake/wanaume wa aina mbalimbali kabla ya kuoa au kuolewa inampa mtu uwezo wa kujua aina za watu kwenye anga za mapenzi; wanafiki, wazandiki, true lovers, cheaters, womanizers/menizers, infidelities, wife/husband material n.k, kama wakisimama mbele yenu na tayari ninyi ndo mmeshachaguana basi walie tu, na watambue kuwa wao walikuwa sample! upo hapo?
 
kukutana na wanawake/wanaume wa aina mbalimbali kabla ya kuoa au kuolewa inampa mtu uwezo wa kujua aina za watu kwenye anga za mapenzi; wanafiki, wazandiki, true lovers, cheaters, womanizers/menizers, infidelities, wife/husband material n.k, kama wakisimama mbele yenu na tayari ninyi ndo mmeshachaguana basi walie tu, na watambue kuwa wao walikuwa sample! upo hapo?

kula like mkuu
 
kukutana na wanawake/wanaume wa aina mbalimbali kabla ya kuoa au kuolewa inampa mtu uwezo wa kujua aina za watu kwenye anga za mapenzi; wanafiki, wazandiki, true lovers, cheaters, womanizers/menizers, infidelities, wife/husband material n.k, kama wakisimama mbele yenu na tayari ninyi ndo mmeshachaguana basi walie tu, na watambue kuwa wao walikuwa sample! upo hapo?

na wakiona vipi waambie wakakutangazeeee
 
Hata siwakumbuki ni miaka sasa toka niache michepuo ,ila wengi walikuwa bomba toka zanaki sekondari
 
Kuna mmoja tu atanipa hofu huyo nichomoka naye miaka hiyo maeneo ya las vegas pale
Dah pombe mbaya akija leo nadhani na mvi ashaota namanisha sasa atakuwa mzee!!
 
Hata siwakumbuki ni miaka sasa toka niache michepuo ,ila wengi walikuwa bomba toka zanaki sekondari

Zanaki???? mwaka gani huo isijekuwa na mimi nimo kundini
 
Back
Top Bottom