Swali kwa wahusika wa MMU

Swali kwa wahusika wa MMU

Issa hayola

Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
21
Reaction score
2
Hivi inakuwaje mpaka mwanaume au mwanamke anaamua kuisaliti ndoa yake? Je ni tamaa za pesa au ngono au hata kuichoka ndoa? Nahitaji majibu yenye kuelimisha guys
 
Wewe hujawahi? Hebu tupe uzoefu wako kwanza,,,
 
yote hayo inaweza kuwa sababu na mengineyo mengi.
 
Kama sio tabia binafsi basi kuna lililom'boa ndani ya ndoa mpaka anatoka
 
Niliwahi kujiuliza swali kama lako wakati sijaoa miaka hio, nimepata majibu na nadhani yamenitosha! Usiombe kabisa, Mshukuru MUNGU tu wala usijekujisifu.
 
Niliwahi kujiuliza swali kama lako wakati sijaoa miaka hio, nimepata majibu na nadhani yamenitosha! Usiombe kabisa, Mshukuru MUNGU tu wala usijekujisifu.

Kumbe kwenye ndoa nako kuna visa kama huku kwa akina boyfriend and girlfriend?
 
Hakuna hofu ya Mungu na pia watu unao kaa nao, kula nao,na kushinda nao kwao kucheat ni kitu cha kawaida na wewe utaona kawaida na kuamua kujaribu
 
Anza kuangalia kama mpenzi wako anachepuka kwanza
 
Wakati mwingine mazoea, yaani kwa kuwa umeoa/umeolewa basi unajiachia tuu unanenepeana hovyo hovyo kitambi kuleee!! Kumbe mwenzio alikupendea mwili mdogo na limwili likubwa linamkwaza so michepuko inaanzia hapo!

Pia mazingira, yaani mnalala pale pale mnafanya yenu kwa style zile zile kwa miaka nenda rudi lazima mchokane!! Kubadilisha mazingira kidogo ni jambo la msingi hata kama hela hamna mnapeleka watoto kwa bibi yao then mnaanza kuzunguka nyumba nzima mkikolezana, mara jikoni mara bafuni mara chumba cha wageni looh!!
 
Back
Top Bottom