SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Katika kampeni zako umesema kuna maeneo hujapeleka maendeleo kwa kuwa wamechagua upinzani.
Swali: Mbona mkoa wa Dodoma karibia wote wamechagua CCM tangu uhuru ila ni maskini wa kutisha? Kongwa, Kondoa, Chamwino na Bahi hali ni mbaya mnoo, hao nao walikukosea nini?
Pia Jimbo la Isimani kwa mh. Lukuvi hapo Iringa hawajawahi kuchagua upinzani ila maendeleo hakuna, Vipi kuhusu jimbo la Kilolo?
Morogoro kuanzia Gairo kote huko ni CCM tupu mbona ni maskini wa kutisha?
Naomba majibu mh. John.
Swali: Mbona mkoa wa Dodoma karibia wote wamechagua CCM tangu uhuru ila ni maskini wa kutisha? Kongwa, Kondoa, Chamwino na Bahi hali ni mbaya mnoo, hao nao walikukosea nini?
Pia Jimbo la Isimani kwa mh. Lukuvi hapo Iringa hawajawahi kuchagua upinzani ila maendeleo hakuna, Vipi kuhusu jimbo la Kilolo?
Morogoro kuanzia Gairo kote huko ni CCM tupu mbona ni maskini wa kutisha?
Naomba majibu mh. John.