KERO Swali kwa DAWASA kuhusu upatikanaji wa maji Ubungo -Msewe

KERO Swali kwa DAWASA kuhusu upatikanaji wa maji Ubungo -Msewe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Tokea mwezi wa 10 kulipokuwa na mgawo mkali wa maji, maeneo yetu ya Msewe, Chuo Maji na maeneo ya karibu tumekuwa tukipata maji takribani mara moja tu kwa wiki.

Hata hivyo, ndani ya mwezi huu maji yametoka mara mbili tu.

Tunaomba kufahamu kutoka DAWASA kama changamoto hii inasababishwa na mvua kama ilivyowahi kuelezwa hapo awali, au kama kuna sababu nyingine inayosababisha hali hii.

Na wawe wanatoa taarifa kama maji yatakaa kipindi kirefu hivi bila kutoka maana wote tunajua umuhimu wa maji
 
Nchi haina maji waziri wa maji yupo china anatembelea mabwawa ya maji
20260114_162412.jpg
 
Back
Top Bottom