Swali kuhusu walioghushi Vyeti

Kwa mfano ni halali kuchangia uzi wa mtoa post aliyeghushi vyeti na kupost kwenye forum ambayo mbunifu wake labda naye alighushi vyeti?
 
Sakata la vyeti limefia miguuni mwa bashiite maana kwa sasa sidhani kama kuna mtu atafungwa au kuachishwa kazi sababu ya kufoji cheti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…