Swali kuhusu UKAWA

Swali kuhusu UKAWA

mcubic

Mtajitahidi sana kuleta propaganda zenu lkn hamtaweza kujua siri iliyoko kwenye ukawa.Ukawa wakipewa ridhaa watafuta katiba iliyopo na kuunda ya Warioba waliyoikataa CCM.
kwataarifa tu nikua chadema wanataka lazima mgombea urais atoke kwao na c vinginevyo
 
Last edited by a moderator:
Magamba tatueni yakwenu kwanza, Edo kugombea uraisi ama chama kumeguka,

UKAWA wamejipanga na wamejidhatiti ipasavyo

tukutane October
 
Back
Top Bottom