umeshasema ni mkopo lazma urudishe.yatima ni kigezo cha kukusaidia kupata mkopo ili usome si umemaliza na umepata kazi bado waendelee kukumbatia eti ni yatima.CHAGUA LOWASSA huta daiwa mkopo lakn CHAGUA MAGUFULI sura nyeus kweli utarudsha na riba juu hadi senti ya mwisho.
Mie nimesoma private lakin nwaka jana baba aliachishwa alipo kua anafanya kazi ni Congo na barua alizo achishwa nazo zpo kwa lugha ya kifaransa,ndo izo pia nliziweka kwenye maombi yangu, sasa sijui niwe na matumain ya kupata au la. naomben ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.