Hiyo kozi kwa level ya diploma inaitwa diploma in diagnostic radiography kwa mwaka jana serikali iliongeza kiwango cha mkopo kutoka degree mpaka diploma ila kuna baadhi ya kozi zilipewa kipaumbele kupata mkopo,hii ya DDR nayo ikiwemo, vyuo vinavyotoa ni kama Bugando,muhas,kolandoto, City college mwanza,na vingine vingi.