mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,260
Wakuu naombeni nisaidiwe kama upo uwezekano wa kuchagua course mbili chuo kimoja na je malipo ya gharama za application yanakuwaje?
Kila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumikaWakuu naombeni nisaidiwe kama upo uwezekano wa kuchagua course mbili chuo kimoja na je malipo ya gharama za application yanakuwaje?
Mzumbe iko poa lipa 10 inafanya kazi.Kila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumika
Sent using Jamii Forums mobile app
unalipa kumi elfu au? harafu ninaswali kuhusu mzumbeee.... hawa jamaa system yao ya usaili ipo moja je kama nataka kuapply center yao ya mbeya kwa mfano inakuweje...... nataka kuapply mbeya and main course mbili tofauti ndo kiini cha swali languu
unaungaje mkuu tufafanulie
ahsante mkuuuKila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia tu kwenye application utaweza kuomba vyote apoapounalipa kumi elfu au? harafu ninaswali kuhusu mzumbeee.... hawa jamaa system yao ya usaili ipo moja je kama nataka kuapply center yao ya mbeya kwa mfano inakuweje...... nataka kuapply mbeya and main course mbili tofauti ndo kiini cha swali languu