engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana jf ktk pita pita mitaani nimekuta vijana wa darasa la saba wakibishana juu ya mdudu nyoka pindi anapojivua gamba,
1.wengine husema huwa anabadilika hawi nyoka,
2.wengine wanasema huwa anakuwa hana sumu na wengine wakadiliki kusema ni bora ukimwona anajivua gamba umwue kwani huwa ana sumu kali
3.Lakini wengine walifika mbali sana kwa kusema huwa ana oga ndio maana analivua gamba ili awe msafi.
4.Wengine wakasema anapojivua gamba bado ni nyoka tu
hehehehehehe,wewe unaejiita great thinker unawaambiaje vijana hao?
1.wengine husema huwa anabadilika hawi nyoka,
2.wengine wanasema huwa anakuwa hana sumu na wengine wakadiliki kusema ni bora ukimwona anajivua gamba umwue kwani huwa ana sumu kali
3.Lakini wengine walifika mbali sana kwa kusema huwa ana oga ndio maana analivua gamba ili awe msafi.
4.Wengine wakasema anapojivua gamba bado ni nyoka tu
hehehehehehe,wewe unaejiita great thinker unawaambiaje vijana hao?