Swali: Gharama za Kampeni Hazijazidi?

Swali: Gharama za Kampeni Hazijazidi?

silent_soldier

Senior Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
193
Reaction score
62
Nauliza, Tume ya Uchaguzi ilisema ati Kila Chama kisitumie zaidi ya 17 Bilioni.

Je mpaka sasa hizo gharama hazijazidi?
 
Mpaka sasa lowasa ametumia 10b kwa ajili ya kununua nafasa ya uraisi na 2bi kwa ajili ya kuwa nunua akina MBATIA,lissu ,MASHEHE,maaskofu ili wamfanyie kampeni kwa waumini wao bado tano hivi kufikia 17b
 
Mpaka sasa lowasa ametumia 10b kwa ajili ya kununua nafasa ya uraisi na 2bi kwa ajili ya kuwa nunua akina MBATIA,lissu ,MASHEHE,maaskofu ili wamfanyie kampeni kwa waumini wao bado tano hivi kufikia 17b

3.8b kumhonga Lipumba
7.0b kumhonga Dr Slaa
Matangazo ya TV yatakula mahela mengi
Mabango yaliyopo Dar tu yanakula mapesa mengi,
Hapo 17b zitazidi tu CCM watatumia almost 100b
 
Mpaka sasa lowasa ametumia 10b kwa ajili ya kununua nafasa ya uraisi na 2bi kwa ajili ya kuwa nunua akina MBATIA,lissu ,MASHEHE,maaskofu ili wamfanyie kampeni kwa waumini wao bado tano hivi kufikia 17b

Dah ivi umefika hata darasa la saba kweli? Mana ubongo wako una matatizo makubwa sana ungekuwa nchi zilizoendelea ungekuwa chumba cha vichaa
 
Back
Top Bottom