Sura vs pesa.

Sura vs pesa.

MAN PC

Senior Member
Joined
May 1, 2013
Posts
108
Reaction score
18
hi jf, nko na rafk yngu wa karibu chuo tumemaliza mwaka jana, kinachomsumbua huyu rafk yngu ni kwamba ana girlfrnd wake(mschna yuko chuo 2nd yr) huyo mschana anampnda mshikkaj kupitiliza, she buys alot of thngs 4 him, coz home kwao mambo xafi bt mshikaj anasema ana sura mbaya atamtambulishaje kwa wazazi na rafk zake, mshkaj anataka kudate na mschana mwngne mrembo bt 4m4 failure na huyo mschana hana future navomwona, jamaa ananiomba ushauri eti aende kwa yule mwenye sura nzuri au kwa yule wa chuo,

Naomba tusaidiane kumpa ushauri( he is in dilema).
 
Mmnh kikubwa cha kumshauri huyo rafiki yako ni kwamba afanye lile lililopo ndani ya moyo wake..... Halafu asiwapotezee watu muda awaweke wazi ili kila mtu aelewe kabisa kinachoendelea...
 
ni kwel mkuu, me nahic jamaa anakua na tamaa za machoni bt mschana wa chuo anampnda jamaa 4real.
 
ITS NEVER ABOUT OTHER PEOPLE!!! ITS ALWAYS ABOUT YOU!!!!!!!!!!!!! Swala sio huyo msichana wa chuo au huyo wa kitaa wanampenda, swala ni JE YEYE ANAMPENDA NANI!????????? Every body for himself, but God for us all!!!!!!!

Alafu kwani kumlia mtu pesa lazima uwe na uhusiano nae? You kids are such ARMATURES !!!!!!! Mi mwanaume anaeyumbishwa na WOGA WA KIUCHUMI naungana na Shilole ni Dume Dada tu huyo!
 
Hawa watoto wanamalizaje chuo?
'
Hivi mmeshaona JF ndo pa kuleta hii miandiko yenu ya hovyo hivi?
'
Hizi shule za siku hizi hovyo kabisa!!
 
Huyu jamaa ni kanjanja pamoja na kumaliza chuo..na ww uliyekuja kuomba ushauri pia kanjanja..Maamuzi jamaa kashafanya na yako wazi sasa mnatuletea longolongo za nn? La kumshauri ni kumtaka awajibike ili ajitafutie maisha..ila pamoja na hayo sidhani kama akili yake itamsaidia..kesha ya jana iko wapi?? kizazi kilichotoka michosho,,miyeyusho isiyo na mwisho!!
 
Sura is relative - one man's meet is a another man's poison... Face is a facade. Many people ambao nimekuja kuona ni interesting na wanaweza kuinteract na watu wa aina na level yoyote ni ordinary looking people. Just saying...

Na huyo anayesema ni mzuri (sura) kwa baadae akija kuwa mbaya kwa taafsiri yake atamuacha pia? Na je yule wa hela wakifilisika?

Kumbuka hujafa hujaumbika.
 
hi jf, nko na rafk yngu wa karibu chuo tumemaliza mwaka jana, kinachomsumbua huyu rafk yngu ni kwamba ana girlfrnd wake(mschna yuko chuo 2nd yr) huyo mschana anampnda mshikkaj kupitiliza, she buys alot of thngs 4 him, coz home kwao mambo xafi bt mshikaj anasema ana sura mbaya atamtambulishaje kwa wazazi na rafk zake, mshkaj anataka kudate na mschana mwngne mrembo bt 4m4 failure na huyo mschana hana future navomwona, jamaa ananiomba ushauri eti aende kwa yule mwenye sura nzuri au kwa yule wa chuo,

Naomba tusaidiane kumpa ushauri( he is in dilema).
Aiseee ni bora uchukue kitu kizuri aisee..haiwezekani uoe mtu ana sura la kiume...
 
Mwache aendelee kuhongwa, watatafuna kabang. Uzuri bila pesa hauna mana. Mi ni bonge la handsome sasa enz hzo niko chuo nlikua sina kitu wakawaga wananiangalia tu wanasepa, yani ukipita mademu wanakuangalia mara 100 ila papuchi hupati na chupi hawavui. Chukua mwenye hela, mi mbona mke wangu nimemzid uzuri
 
mawazo mazuri xana bt asigwa unasema achukue ki2 kizuri, je mbeleni kikija kua kibaya itakuaje? je uzuri wa mwanamke uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
mawazo mazuri xana bt asigwa unasema achukue ki2 kizuri, je mbeleni kikija kua kibaya itakuaje? je uzuri wa mwanamke uko wapi?



Hilo swali inabidi umuulize huyo rafiki yako
 
Last edited by a moderator:
Kwan wakati anamtongoza hakumuona kama anasura mbaya? Huyo mwanaume suruali anapenda kuhongwa!
 
Wakubwa nyie. Mtoto wa chuo ufundishwe kuchagua msichana? Aibu taifa hili
 
hi jf, nko na rafk yngu wa karibu chuo tumemaliza mwaka jana, kinachomsumbua huyu rafk yngu ni kwamba ana girlfrnd wake(mschna yuko chuo 2nd yr) huyo mschana anampnda mshikkaj kupitiliza, she buys alot of thngs 4 him, coz home kwao mambo xafi bt mshikaj anasema ana sura mbaya atamtambulishaje kwa wazazi na rafk zake, mshkaj anataka kudate na mschana mwngne mrembo bt 4m4 failure na huyo mschana hana future navomwona, jamaa ananiomba ushauri eti aende kwa yule mwenye sura nzuri au kwa yule wa chuo,

Naomba tusaidiane kumpa ushauri( he is in dilema).

kwanza andika kama mtu aliyemaliza chuo kweli................. pili muulize kwanza hiyo elimu ya chuo inamsaidiaje??? akishakujibu ndo uje umuombee huo ushauri
 
kwanza andika kama mtu aliyemaliza chuo kweli................. pili muulize kwanza hiyo elimu ya chuo inamsaidiaje??? akishakujibu ndo uje umuombee huo ushauri

Honestly uandishi wa namna hiyo na mie unaniboaga sana!!!!!!!
 
Warembo kweli kufaulu kazi, so anampenda mwenye sura nzuri halafu 4m4 failure.

Maswali: Kwanini amefeli? A. Hana akili B. Anazo lakini alijichanganya kwa sababu ya urembo. C. Alikuwa mvivu kusoma kwa kujua kuna msomi/tajiri atamuoa cuz ni mrembo.

Hivi mrembo usoni ni mrembo pia kunako majaliwa? Na yule mbaya, ni mbaya pia kunako majaliwa?
Let the sweet of it be discussed.
 
Mwambie uzuri wa mtu sio sura aangalie mwelekeo wa maisha manake huyo form 4 failure atakua amemuokota hajamjua vizur bado.......Mwanamke yoyote akishazaa anafanana na wenzake hata kama alikua kama malaika! Hamna cha uzuri wa sura hapa mjomba..! Me mwenyew mbona mke wangu alikuaga miss Rwanda lakini sahv anafanana tu na wamama wa Mosco Mkwajuni kule kinondoni!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ITS NEVER ABOUT OTHER PEOPLE!!! ITS ALWAYS ABOUT YOU!!!!!!!!!!!!! Swala sio huyo msichana wa chuo au huyo wa kitaa wanampenda, swala ni JE YEYE ANAMPENDA NANI!????????? Every body for himself, but God for us all!!!!!!!

Alafu kwani kumlia mtu pesa lazima uwe na uhusiano nae? You kids are such ARMATURES !!!!!!! Mi mwanaume anaeyumbishwa na WOGA WA KIUCHUMI naungana na Shilole ni Dume Dada tu huyo!

Igweee! Lara! s'times napenda sana post zako

mimi ni mtu wa 80s nina experinc kidogo, huyu jamaa its about himself, lakin ukweli, he should pick advice na aufanyie kazi, tunatabia ya kufanya yanayopendeza mioyo yetu ingawa yanamadhara. Nilikutana na wadada wazuri sana na mm bahati nzuri mungu namshukuru HB ninawo. ninaishi kwa ushauri wa watu, na mke wangu mzuri sana, si wa sura, nilipata shida sana kumkubali ingawa nimekuwa nikimkubali kwa tabia yake, hata huyu aangalie tabia, asiangalie sura au pesa.

Ninaishi na watoto wa mama mwenye tabia nzuri na wazuri. ila sasa asiangalie sura na pesa tu! aangalie na mambo mengine, tabia na sura pia maana kama yako ni kama ya bull na mkeo kama ya ngurue pori du, anyway. nia yangu ni kla mtu kuwa muangalifu sana
 
Back
Top Bottom