Ni hivi: Kazi amekosa, kila akitafuta hapati. Seriklini pia amekwama. Labda nauli ya kurudi kwao Kenya pia kakosa. Watoto wanalia njaa...........Angefanyaje zaidi ya kufanya ile biashara kongwe zaidi kupata kutokea duniani?............Hata Mungu asingemhesabia dhambi naamini.
Haya nigongee LIKE nipate appetite ya kula ugali mchana.