cruz vuitton
Member
- Sep 23, 2016
- 42
- 12
- Thread starter
- #21
we si mfanyabiashara....si kukatalii kwamba kuna watu wanatumia hizo....ila kiafya c nzuri...kwa sababu hizo zinaenda kuleta effect kwenye homoni husika....na wateja wengi wa hizo kitu ni kina mama(tunaziona picha zao za before and after)...na hii ni kutokana hawapend mazoez machipsi wanayapenda....umodo wanaupenda