Supplementary ya mtihani wa taifa inalipiwa?

Supplementary ya mtihani wa taifa inalipiwa?

Golden felician

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
216
Reaction score
36
Jaman ningependa kusaidiwa,
Kama umeshalipa pesa kwa ajili ya mtihani wa TAIFA kwa ngazi ya CHETI bahati mbaya ukateleza na visupplementary eti Kuna kulipa tena fedha ili ufanye upya mtihani au so Sawa kulipia tena
 
Kumbe ni Education? ngoja walimu wenzako waje kukusaidia maana wengine chuo hatukuwa na mitihani ya Taifa tulikuwa tunamalizana na MaDR kmya kimya kwenye supp
 
Back
Top Bottom