Supervisor wa shule za udereva anahitajika haraka

Supervisor wa shule za udereva anahitajika haraka

Manala An Academician

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
119
Reaction score
57
Sifa
Uwezo wa kuongoza taasisi yenye matawi yake

Lugha nzuri sana na uwezo wa kujieleza

Mwaminifu sana na aliyetayari kufanya kazi bila usimamizi na kwakujitoa

Uwezo wa kutumia computer na uelewa wa kuandaa report za utendaji

Awe na jinsia ya kike mwenye ujasiri, ari, uwezo na utayari wa kufanya kazi
Elimu si kigezo muhimu bali uwezo wa kufanya kazi yenye matokeo

Mshahara unaanzia kati ya 250,000 inaweza kubadilika kutokana na utendaji kazi

Posho kwaajili ya mawasiliano na nauli itatolewa kwa- wiki

Kituo cha kazi ni Dar Es Salaam, Mabibo na Tegeta

Mwisho wa maombi ni 15/02/2021 saa 10:00jioni

Tuma cv yako kwa- whatsapp namba au piga kwa- namba : 0765374146
 
Mkuu mnabana sana kwenye malipo.
Huo mshahara haufai hata kwa secretary/receptionist inakuwaje umlipe supervisor tena anayeongoza matawi mengi.
Hata kama ajira ni ngumu kupata sio kihivyo.
 
Mkuu mnabana sana kwenye malipo.
Huo mshahara haufai hata kwa secretary/receptionist inakuwaje umlipe supervisor tena anayeongoza matawi mengi.
Hata kama ajira ni ngumu kupata sio kihivyo.
Nikianzio tu Mkuu haina maana atalipwa hivyo wakati wote
 
Mimi ni wa kiume. Ila ngoja nipige simu kujaribu bahati yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom