wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,314
hi jf thinkers, jamani kuna m2 namjua hapa jirani yatu anatumia ttcl dek mobile ku accses internet free of charge yapata mwaka sasa, utalaamu huu ulifanywa na baadhi ya vijana toka dar ambao kwa sasa hawapatikani, je hamana mtu anayeweza kuleta concept ya kuchakachua modem zisisome salio,
nawasilisha pls
nawasilisha pls