Super utalaamu

Super utalaamu

wiseboy

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
2,930
Reaction score
3,314
hi jf thinkers, jamani kuna m2 namjua hapa jirani yatu anatumia ttcl dek mobile ku accses internet free of charge yapata mwaka sasa, utalaamu huu ulifanywa na baadhi ya vijana toka dar ambao kwa sasa hawapatikani, je hamana mtu anayeweza kuleta concept ya kuchakachua modem zisisome salio,
nawasilisha pls
 
it's possible but against the law. it is better ukichakachua mwenyewe kuliko kuuliza ushauri huo hapa, maana kama tukikupatia hiyo means that means tunasupport uhalifu. In short huo ni wizi.

Sorry buddy.
 
it's possible but against the law. it is better ukichakachua mwenyewe kuliko kuuliza ushauri huo hapa, maana kama tukikupatia hiyo means that means tunasupport uhalifu. In short huo ni wizi.

Sorry buddy.
wewe unaonekana ni mgeni kwenye hili jukwaa hivi **** mtu yoyote hajui baya na zuri kweli?
 
Modem haisomi salio kama unavyofikiri, salio linakuwa managed na enforced upande wa server za TTCL kama ni kweli wanapata bure inatokana na makosa kwenye mitambo ya TTCL sio uchakachuaji wa modem.
 
najua ni upande wa server, sasa kwani hizo server hazifikiki?
 
@omary salum: ingawa mimi sio mgeni but nimekuwa silent observer for almost three years now. Kwa kukujibu tu, ugeni wa hii forum haimaanishi haujui zuri au baya. Ilikuwa ni ushauri tu kulingana na kanuni zisemavyo. Na kama anajua hili ni baya na jf hairuhusu kwenye rule #3 ibara ya 3, 4 na 5 then kwanini kauliza?
 
@omary salum: ingawa mimi sio mgeni but nimekuwa silent observer for almost three years now. Kwa kukujibu tu, ugeni wa hii forum haimaanishi haujui zuri au baya. Ilikuwa ni ushauri tu kulingana na kanuni zisemavyo. Na kama anajua hili ni baya na jf hairuhusu kwenye rule #3 ibara ya 3, 4 na 5 then kwanini kauliza?
In short jukwaa hili halikufai mkuu, nenda majukwaa mengine kama la siasa huko kunalongolongo kama hizo zako za ku qoute na vifungu vya sheria
 
mwaga mbinu at the bottom malizia na hizo quote zako za sheria.

that will keep u off trouble.

for all i know is it takes 2 to do such a job, an inside man who can cover up for you when they do their routine check ups, otherwise, you will be caught in the first 2months of abnormality usage of their bandwidth...
 
@omary salum: ingawa mimi sio mgeni but nimekuwa silent observer for almost three years now. Kwa kukujibu tu, ugeni wa hii forum haimaanishi haujui zuri au baya. Ilikuwa ni ushauri tu kulingana na kanuni zisemavyo. Na kama anajua hili ni baya na jf hairuhusu kwenye rule #3 ibara ya 3, 4 na 5 then kwanini kauliza?
Mkuu endelea kukaa kimya, au nenda jukwaa la sheria huku hakukufai.
 
Embu jaribun kuwa wised!ww kama haulewi jinsi ya kumsaidia mchizi kaa kimya!hauna pointi co unaanza kutuchanganyia habari!!embu huko!
 
Embu jaribun kuwa wised!ww kama haulewi jinsi ya kumsaidia mchizi kaa kimya!hauna pointi co unaanza kutuchanganyia habari!!embu huko!
Na wewe umetokea wapi tena kama wewe unaweza msaidie basi.
 
kumbe mgeni unatakiwa kukaa kimya.... Mh! Sasa si ndo utakua mgeni daima..... Halafu nimegundua jf kuna vita ya wageni na wenyeji.... Acheni kwere bana
 
Mkuu hii jf bhana hatunyimani maujuzi kikubwa makinika tu jombaa.......anyway mi nimeokota modem ya TTCL kimbembe nilivyoenda kuinunulia line wakaniambia niwape serial no_ya ile modem duh nikahofu jombaa vp inaweza kua na madhara yoyote nikiwatajia wakuu?
 
Here is the thing: hata kama kuna mtaalamu humu wa TTCL modems asimwage ujuzi hapa. Aweke post kwamba he can do it, then PM kwa sababu hata wafanyakazi wa TTCL wanaweza wakawemo humu. We unadhani kwanini uchakachuaji wa modems na decoders haudumu siku hizi? Wanasoma tricks zenu humu halafu wanaenda kuziba loop holes zao. Ubaya ni kwamba hata wao nao wanaweza kukuPM. Just find an easier way to exchange skills lakini sio kupost kwenye open thread.
 
Here is the thing: hata kama kuna mtaalamu humu wa TTCL modems asimwage ujuzi hapa. Aweke post kwamba he can do it, then PM kwa sababu hata wafanyakazi wa TTCL wanaweza wakawemo humu. We unadhani kwanini uchakachuaji wa modems na decoders haudumu siku hizi? Wanasoma tricks zenu humu halafu wanaenda kuziba loop holes zao. Ubaya ni kwamba hata wao nao wanaweza kukuPM. Just find an easier way to exchange skills lakini sio kupost kwenye open thread.

Well said Givenality,
Sijui kwanini watu hawakusoma between the lines wakati natoa comment hapo juu. Badala yao wakadhani mie mgeni wakati sio. Siku zote workaround za loopholes hazifai kutoa hadharani kichwa kichwa kama hapa TTCL najua wapo humu. Utajuaje aliyeuliza swali sio mtu wa TTCL?
 
Back
Top Bottom