Sumsung r428 laptop

Puza

Senior Member
Dec 11, 2010
106
12
Wjameni msaada wenu nauomba,ninatumia sumsung model nloitaja hapo juu ilikuwa na windows xp na nieinstall window 7 ultimate transformer ila nashangaa ghafla nimeiwasha inatoa black screen with no error msg nimejaribu kurepair window lakini tatizo ni lilelile kwani cd inacopy mafail lakini ikimaliza hairestart from hdd inishia kama awali kwenye black screen.Nimejaribu kuchange boot order kwenye bios kwa kuiweka hdd first lakini haijaboot Nikijaribu kurun live ubuntu inakubali,Nifanye nini kutatua hili tatizo.
 
Wjameni msaada wenu nauomba,ninatumia sumsung model nloitaja hapo juu ilikuwa na windows xp na nieinstall window 7 ultimate transformer ila nashangaa ghafla nimeiwasha inatoa black screen with no error msg nimejaribu kurepair window lakini tatizo ni lilelile kwani cd inacopy mafail lakini ikimaliza hairestart from hdd inishia kama awali kwenye black screen.Nimejaribu kuchange boot order kwenye bios kwa kuiweka hdd first lakini haijaboot Nikijaribu kurun live ubuntu inakubali,Nifanye nini kutatua hili tatizo.
mkuu hizi transformer maranyingi zinakuwa na utata sana so kama vipi bora utupie tu win7 kama computer yako ina suport vinginevyo install upya tu hiyo XP.pole sana
 
Wjameni msaada wenu nauomba,ninatumia sumsung model nloitaja hapo juu ilikuwa na windows xp na nieinstall window 7 ultimate transformer ila nashangaa ghafla nimeiwasha inatoa black screen with no error msg nimejaribu kurepair window lakini tatizo ni lilelile kwani cd inacopy mafail lakini ikimaliza hairestart from hdd inishia kama awali kwenye black screen.Nimejaribu kuchange boot order kwenye bios kwa kuiweka hdd first lakini haijaboot Nikijaribu kurun live ubuntu inakubali,Nifanye nini kutatua hili tatizo.

Kama kwenye ubuntu inakula mzigi basi itakuwa ni conflict au kutolewana kati ya VGA card(hdrware) ya laptop na drivers (Sofware. ie winodws 7)

jaribu ku boot kwenye safe mode uone itakuwaje?

Vile vile jribu kwenda kwenye Tovuti ya samsung ucheki kama kwenye forum yao kuna watu wamepata tatizo kama hilo. before na wlilitatuaje

unaweza Pia Kusoma au kucheki manual ya ya hiyo latop online ujue inatumia hadrwae gani za VGA( niViDIA, ATI, ect) na driver zake halisi za windows 7 zinapatikana vipi

Nb
But again kama kwenye ubuntu inakula mzingo tatizo ni windows 7 display drivers hazielwani vizuri na vGA card ya samsung yako . jaribu pia kuunganisha hiyo laptop na projector uone
 
Wakuu nashukuru sana kwa ushauri wenu naendelea kuufanyia kazi
 
Back
Top Bottom