Sumsung galaxy Tab A 9.7 (T555)

Batamaj

Member
Joined
May 28, 2019
Posts
71
Reaction score
5
Nauza sumsung galaxy tablet T555 ambayo inatumia SIM card na Wi-Fi na hivyo unaweza kupiga na kupokea simu. Ipo katika hali nzuri sana. Ukubwa wake ni inchi 9.7. RAM 2 GB, storage ni 16 GB. Inakuja na accessories zake pamoja na cover yake original sumsung imara sana.
Bei ya tablet na cover yake ya ukweli ni Sh. 330,000.

Location: Dar es Salaam

 

Attachments

  • 97F81E50-D5F7-4ED9-9B39-DD6EA129732F.jpeg
    157.5 KB · Views: 28
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…