Sumaye kupoteza kumbukumbu

mshenzi mkubwa unamjua unajibizana nae? Akiri yako mbovu haijai hata kwenye kijiko kidogo cha sukari

Wewe mpuuzi kweli unataka amjue ili iweje wakati kaandika upuuzi kweli ndio maana mnaitwa nyumbu hata hamjui mnafuata nini...KENGE mkubwa.
 

Elimu bure alisema mwisho form 4, hivyo kunauwezekano form 5-6 kukawa na michango ambayo #hapakazitu ameahidi kuikomesha!!!
 
Mchagueni, na Watanzania tulio wengi tunajioelewa na tusionunulika tunamchaguwa Magufuli.

Kumbuka hilo.

Hakuna aliyewazuia.

Na hakuna aliyetuzuia.

Mwisho wa siku atakayeshinda ndio aliyeshinda.
 
Kwenu kuna wezi au hakuna?

Mi naona tuchague mwanamke. Hawa hata mungu kawaamini ndo maana kawapa mji Wa mimba. Alijua viumbe vyake vitakuwa salama.na ndo maana, baada ya kuona udhaifu wa adam, akaondoa wanaume katika mpango wa kumleta yesu.
Nasubiri lile tusi kubwa kwa maana ya mlango wa kuleta viumbe duniani na mzani wa kupima uanaume wa mwanamume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…