Nikiwa rais michango na ada zote kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari zitafutwa..... Makofuli
Nikiwa rais ntawashughulikia wote wanaokula hela za michango mashuleni...... Makofuli.
Bora nani..... anayesahau ambaye hagombei chochote au anayesahau afu anataka kuwa Rais wetu???