Mapirobe
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 683
- 117
Sumaye Fredrick amezidi kudhihirisha kuwa ni mtu anbaye kaanza kupoteza kumbukumbu kutokana na kusahau kauli zake anazotoa kila siku.
Sumaye alisema sifa za mtu kuwa rais kwanza ajipime mwenyewe kama anatosha, afya yake pamoja na ufisadi.
Lakini huyohuyo baadae akapoteza kumbukumbu na kusema tuchague hata kama ni fisadi au afya mgogoro.
Sumaye alisema sifa za mtu kuwa rais kwanza ajipime mwenyewe kama anatosha, afya yake pamoja na ufisadi.
Lakini huyohuyo baadae akapoteza kumbukumbu na kusema tuchague hata kama ni fisadi au afya mgogoro.