Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,873
mungu alitunusuru na wanafiki wakubwa. sumaye ni mmoja wao.
Hawa watu wanatufanya tusipende siasa, maana inaonekana siasa ni kama mchezo wa kitoto, ule wa kujifichaSumaye akiwa Waziri Mkuu aliishi na IPTL 10 years akaivumilia,
Leo ni Mwenyekt wa Chadema Pwani ndio Uzalendo umemrudi Moyoni