wao walikuwa kwenye serikali walitumia dola kusambaratisha upinzani mf.NCCR leo dola ikifanya kazi ile ile wanalalamika.
walikuwa wana uwezo mkubwa wa kutengeneza mazingira bora ya kufanya siasa ya haki na huru lakini waliacha walifikiri watakuwa CCM milele.
Sumaye aliwahi kuwaambia wafanyabiashara wakitaka wafanikiwe wawe wana CCM.