.... kwa taarifa tu, kama wewe unatabia ya kupakia abiria kwenye kigari chako wakati wa kwenda na kurudi kazi, summatra wakikushika adhabu yao ni shilingi 1,100,000/= mchanganua kama ifuatavyo
Kubeba abiria bila kibali cha kutoka summatra 3500,000/=
kutoza naluli kubwa kuliko kiwango 250,000/=
kuto kuwa na tiketi 150,000/=
kuto kuwa na sare 250,000/=
kukatisha ruti 100,000/=
Tahadhari kwa wenye HOHA mitaa ya mbagala yasikukute !!!