Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Jamani imagine serikali imewaamini kawatengea na fedha
kadhaa kuweza kusaidia swala la usafirishaji
wanadiriki kutanga"sumatra wakishirikiana na mashoka a mart"
wameanza zoezi la kukamata magari
sasa kama mmeaminiwa na kuajiri watu kwa ajili ya kusimamia usalama barabarani kwa nini mnawakimbilia hawa majembe;israel kuna dili gani linaendelea jamani;hili tangazo naona ni kujizalilisha kama mmeshindwa kabidhini m,adaraka kwa wenyewe wenye uwezo waingie mtaani sheemeji
nalaani ushirikiano huu wa majembe na sumtra unachochea rushwa kama amuamini nendeni ubungo kuna magari kama dar xpress anatoza 25,000 mpaka 30,000 iweje mengine yakamatwe hawa waruhusiwe wakati mwingine wanaomba chai live na makoti yao kama waokoaji wa "haiti'"
kadhaa kuweza kusaidia swala la usafirishaji
wanadiriki kutanga"sumatra wakishirikiana na mashoka a mart"
wameanza zoezi la kukamata magari
sasa kama mmeaminiwa na kuajiri watu kwa ajili ya kusimamia usalama barabarani kwa nini mnawakimbilia hawa majembe;israel kuna dili gani linaendelea jamani;hili tangazo naona ni kujizalilisha kama mmeshindwa kabidhini m,adaraka kwa wenyewe wenye uwezo waingie mtaani sheemeji
nalaani ushirikiano huu wa majembe na sumtra unachochea rushwa kama amuamini nendeni ubungo kuna magari kama dar xpress anatoza 25,000 mpaka 30,000 iweje mengine yakamatwe hawa waruhusiwe wakati mwingine wanaomba chai live na makoti yao kama waokoaji wa "haiti'"